Juma wenda shamba,
Zawadi ziwapi?
Nisalimia Hafidhi na mama na mke wangu,
Kufungwa miaka mithano,
Ndio majaaliwa yangu,
Zeze lalia,
Mwakilingo kamwambia Marere,
Hii ndio hali ya dunia,
Zeze lalia, Zeze,
Kilingeni hakulii zeze,
Lakini mwaka huu litalia,
Kilichompata ngwena na kiboko yumo,
Ukithaka koti kubwa, mkamba na Selemani,
Perera peana uwanja,
Kwaja warembo wa shani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Labels
poetry
(10)
Blog Archive
-
▼
2009
(26)
- ► February 2009 (1)
- ► August 2009 (1)
- ► October 2009 (3)
- ► December 2009 (1)
-
►
2010
(10)
- ► January 2010 (1)
- ► March 2010 (4)
- ► April 2010 (4)
-
►
2012
(4)
- ► January 2012 (1)
- ► February 2012 (3)
No comments:
Post a Comment